Search results: 2679
Iyi mbumbanyigisho ikubiyemo amasomo ajyanye n'ubuvanganganzo nyarwanda. Igamije gutuma ugira ubumenyi ku ishusho rusange y'ubuvanganzo nyarwanda. Igizwe n'ibice bitatu bifite intego zuzuzanya, ari byo: Amateka y'ubuvanganzo nyarwanda; Inshoza y'ubuvanganzo nyarwanda gakondo nyabami n'ingeri zibugize; Ibyiciro n'uturango by'ubuvanganzo bwo muri rubanda.
Iki gice kigamije gusobanura iyigantego icyo ari cyo, kugaragaza ingingo z’ibanze zigenderwaho mu gushyira uturemajambo tw’Ikinyarwanda mu matsinda atandukanye no kwerekana amwe mu moko y’utwo turemajambo tw’Ikinyarwanda.
Iki gice kerekana kandi ingingo zishobora kwifashishwa mu gutandukanya amagambo y’Ikinyarwanda kandi kikibutsa amatsinda y’ibanze y’amagambo y’Ikinyarwanda.
Iyi mbumbanyigisho igamije gutuma umunyeshuri ashobora kuvuga icyo inkuru ari cyo ayigereranyije n'izindi ngeri z'ubuvanganzo z'Ikinyarwanda no gusobanura amateka y'inkuru mu buvanganzo nyarwanda.
Iyi mbumbanyigisho igamije gutuma umunyeshuri ashobora kuvuga icyo inkuru ari cyo ayigereranyije n'izindi ngeri z'ubuvanganzo z'Ikinyarwanda no gusobanura amateka y'inkuru mu buvanganzo nyarwanda.
Iyi mbumbanyigisho ikubiyemo amahange ku mikoreshereze y'ururimi muri rusange. Ikubiyemo kandi imyitozo inyuranye ifasha umunyeshuri gucengera neza imikoreshereze y'ururimi rw'Ikinyarwanda. Igamije gutuma umunyeshuri agira ubushobozi bwo gukoresha ururimi rw'Ikinyarwanda, mu mvugo no mu nyandiko ku buryo buboneye.
Iyi mbumbanyigisho ikubiyemo amahange ku mikoreshereze y'ururimi muri rusange. Ikubiyemo kandi imyitozo inyuranye yafasha umunyeshuri gucengera neza imikoreshereze y'ururimi rw'Ikinyarwanda. Igamije gutuma umunyeshuri agira ubushobozi bwo gukoresha ururimi rw'Ikinyarwanda, mu mvugo no mu nyandiko ku buryo buboneye.
Ikaze banyeshuri mugiye kwiga iyi mbumbanyigisho.
Iyi mbumbanyigisho ikubiyemo amahange ku mikoreshereze y'ururimi muri rusange. Irimo kandi imyitozo ifasha umunyeshuri gucengera neza imikoreshereze y'ururimi rw'Ikinyarwanda. Igamije gutuma umunyeshuri agira ubushobozi bwo gukoresha ururimi rw'Ikinyarwanda mu mvugo no mu nyandiko ku buryo buboneye.
Iyi mbumbanyigisho ikubiyemo inshoza rusange z'iyigandimi, amuga y'iyigandimi ndetse n'amahange anyuranye ku Isesengurandimi. Izibanda kandi ku Iyigamajwi, iyigamvugo n'imiterere y'amasaku mu Kinyarwanda.
Moduli hii inaweka mkazo katika kukuza umilisi wa kimawasiliano katika stadi nne za lugha: Kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika. Dhima mbalimbali za mawasiliano zinajadiliwa. Zaidi ya hivyo, mchakato wa mawasiliano unajadiliwa pamoja na aina mbalimbali za mawasiliano zilizopo. Aidha, vikwazo mbalimbali vya mawasiliano vinajadiliwa pamoja na utatuzi wa vikwazo vya mawasiliano.
Moduli hii inaweka mkazo katika kukuza umilisi wa mawasiliano changamani katika stadi nne za lugha: Kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika. Aina tofauti za matini za mazungumzo na kimaandishi katika kiwango changamani ndizo zinazopewa kipaumbele katika kujenga stadi za lugha. Hivyo moduli inatoa fursa kwa mwanafunzi kuwa na umilisi wa matini changamani za kimazungumzo na kimaandishi.
Moduli hii inakusudiwa kumuwezesha mwanafunzi kufanya tathimini ya maendeleo ya riwaya, hadithi fupi na ushairi wa Kiswahili. Aidha, moduli hii inakusudia kumuwezesha mwanafunzi kuwa na uwezo wa kufanya uhakiki wa riwaya, hadithi fupi na ushairi wa Kiswahili kwa kuzingatia mikondo mbalimbali ya kisisasa na kijamii.
Moduli hii ina jumla ya sehemu mbili: Nathari Bunilizi za Kiswahili katika sehemu ya Kwanza na Ushairi wa Kiswahili katika sehemu ya pili. Hivyo basi, sehemu hizi mbili zimegawanywa katika mada zifuatazo:
1. Mada ya Kwanza inahusiana na Dhana za Bunilizi na Nathari
2. Mada ya pili ni Mwanzo wa Nathari Bunilizi Andishi
3. Mada ya Tatu ni Maana ya Riwaya na Sifa za Riwaya za Kiswahili za Mwanzoni
4. Mada ya nne ni Mikondo na aina ya Riwaya za Riwaya ya Kiswahili
5. Hadithi Fupi ya Kiswahili na Maendeleo Yake
6. Nathari Bunilizi kama Nyenzo za Ufundishaji wa Lugha: Mfano wa Hadithi Fupi na Riwaya
5. Maana ya ushairi na Sifa bainifu za ushairi
7. Bahari za Ushairi wa Kiswahili
8. Historia Fupi ya Ushairi wa Kiswahili
9. Uhakiki wa riwaya, hadithi fupi na Ushairi
Moduli hii inatarajia kumwezesha mwanafunzi kufafanua dhana muhimu, kueleza na kutumia nadharia za srufi katika kufanikisha uchunguzi na uchambuzi wa sentensi na usemi katika lugha ya Kiswahili.
Moduli hii inazingatia mambo muhimu ya isimujamii yanayoingiliana na kukamilishana na elimu ya lugha. Dhumuni la kozi ni kudadisi na kueleza uhusiano uliopo baina ya lugha na jamii. Somo hulenga hali mbalimbali za kijamii na jinsi zinavyoathiri matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali ya kijamii. Aidha, kozi itamuezesha mwanafunzi kudhibiti mbinu na ujuzi wa mawasiliano mwa watu mbalimbali kwa kuzingatia kaida za lugha husika. Itasaidia pia mwanafunzi kuhusisha mambo ya kiisimujamii katika maisha yake ya kielimu na kutambua kwa kiasi gani isimujamii huwa na uhusiano wa karibu na taaluma nyinginezo.
A la fin de ce cours , l'etudiant sera de :
- rediger un recit journalistique d'un evenement donné
-faire un interview d'une facon convenable
-s'exprimer correctement en public
Dear student,
The OFJC is a module providing learning about the structure and functioning of the Rwandan judicial system. The different courts and tribunals, as well as their actors, are integrated into a pyramid representing the several levels of Rwandan judicial institutions.
Background Colour
Font Face
Font Kerning
Font Size
Image Visibility
Letter Spacing
Line Height
Link Highlight
Text Alignment
Text Colour